Timu ngumu ya SVSC imeifunga timu ya Azam veterans katika uwanja wake wa nymbani kwa mabao 5-4.
Ilikuwa ni Azam waliotangulia kuzifumania nyavu za timu ya wapinzani wao.. lakini moto wa Survey Veterans uliwaka kipindi cha pili pale waliporudisha mabao yote na kuongeza la ushindi.
Ilikuwa ni Azam waliotangulia kuzifumania nyavu za timu ya wapinzani wao.. lakini moto wa Survey Veterans uliwaka kipindi cha pili pale waliporudisha mabao yote na kuongeza la ushindi.