Timu ya SVSC katika mechi yake ya pili jijini Tanga ililazimishwa sare na Mabingwa wa Uhai Cup kikosi cha pili cha Wagosi wa Kaya Costal Union katika uwanja wa Mkwakwani baada ya kutoka sare ya bao 1-1 baada ya kuongoza kwa dk 70 za mchezo bao lililowekwa kimiani na mshambuliaji hatari Moses katika dak ya 27 kipindi cha kwanza. Dk 20 kabla mpira kumalizika vijana wa Costal union walisawazisha baada ya kutokea piga nikupige langoni mwa survey vetens.
PICHA MATUKIO YA MCHEZO HUO
Picha chini Inamuonesha Capt Mohamed Adam "Zengwe" akionesha maufundi katika uwanja wa mkwakwani mjini tanga kabla mechi kuanza
Picha juu kikosi cha Survey kikipasha misuli moto kwa ajili ya maandalizi ya mchezo....
Benchi la ufundi likiongozwa na Mwl Ramadhani Bomba likifuatilia mchezo kwa makini.....
PICHA MATUKIO YA MCHEZO HUO
Juu na chini ni kikosi kilichotoka sare na Mabingwa wa Uhai cup Timu B ya Costal Union
Picha chini Inamuonesha Capt Mohamed Adam "Zengwe" akionesha maufundi katika uwanja wa mkwakwani mjini tanga kabla mechi kuanza
Picha juu kikosi cha Survey kikipasha misuli moto kwa ajili ya maandalizi ya mchezo....
Benchi la ufundi likiongozwa na Mwl Ramadhani Bomba likifuatilia mchezo kwa makini.....