Sunday, 8 March 2020

MATUKIO YA PICHA KWENYE MCHEZO HUU


Muuaji wa magoli mawili ya SVSC Benson Hagai akitambuka galuga la Beki wa Temboni Veterans na kuipatia timu yake goli la pili.


Mshambuliaji hatari Malongo katika harakati za kumpiga chenga beki......

ILIKUWA ZAMU YA TEMBONI VETERANS KUPATA KIPIGO CHA 4-2

Kikosi cha SVSC kutoka kushoto mstari wa mbele Malongo S, Simbaulanga S., Mbitu J, Shomari H, Kilibe S, Captain Ngassa na Omary M. Waliosimama  kutoa kulia ni Adam Zengwe,Innocent Lyimo,elvin Haule,Bilauri T, Hagai B na Shaban Kambabhe.

Benson Hagai, magoli mawili, Kelvin Goli moja na Button goli moja yalitosha kabisa kuwafundisha mpira timu ya Temboni Veterans. Ikicheza katika uwanja wake wa nyumbani SVSC ilikuwa katika ubora wake iiwa katika maandalizi ya Michuano ya Pasaka na Wazee Sports kutoka Zanzibar na maandalizi ya kuadhimisha miaka 20 toka kuanzishwa kwake.