Friday, 18 September 2015

MASALIA YA BOMBA DAY

 Baada ya sherehe ya kumpongeza Mwl Bomba masalia ya pesa yalisalia na Mwenyekiti kumkabidhi Mwl kama matukio ya picha yanavyoonesha
.... Dah Asante sana Mwenyekiti..... Ndiyo inaonekana Mwalimu Bomba alikuwa akisema....M/kiti wa SVSC Bw. Peter Mweta akimkabidhi masalia ya siku ya Bomba day Mwl Ramadhan Bomba kiasi cha pesa Tsh 60,000/= pesa ambazo zilibaki katika matumizi ya siku ya sherehe huku katibu wa SVSC Bw. Suleiman Mgaya akiangalia kwa karibu.

MATUKIO KABLA YA MCHEZO

D. Kiganga kushoto na Carlos Kulia wakipasha misuri moto kabla ya game

James Kabambo kushoto B. Magadula katikati na D Kiganga Kabla ya Mechi

Sbaban K, na 32 B. Magadula a 8 na wachezaji wengine kabla ya mechi



Kabla ya Mechi

Hamis Gaga kulia, Carlos ,D Kiganga na Moses Kabla ya Mechi

Golikipa hatari  Yona mwenye jezi nyekundu, Jumanne katikati na Dulla kabla ya mechi

Naseeb kulia, Magadula katikati na Gaga wakipasha misuri kabla ya mechi

Captain Mohamed Adam, kulia Said sise katika na Mussa Hassan wakipasha misuri moto kujiandaa na mchezo


John Mbitu kushoto, Peter Mweta (Mwenyekiti wa SVSC na Sbhaban K wakipasha misuri kabla ya mechi



NSSF VETERANS YALAZIMISHA SARE KWA SVSC


Timu ya kuungaunga ya NSSF ikiwa na mamluki kutokea timu pinzani iliweza kulazimisha sare ya goli 1-1 kutoka kwa timu ya Survey Veterans .
Ilikuwa ni NSSF iliyoanza kufunga goli kipindi cha pili. Mshambuliaji hatari wa SVSC Innocent Lyimo (Mangi) akiingia kipindi cha pili aliweza kuisawazishia timu ya SVSC  Veterans. NSSF pamoja na kufanya mabadiliko machache, waliweza kuimarisha basi lao na kuhakikisha washambuliaji wa SVSC hawapenyi ngome iliyokuwa ikiongozwa na beki Mamluki Ally Mgaya. Hadi mwisho wa mchezo SVSC 1 na NSSF 1.
MATUKIO YA PICHA KABLA NA BAADA YA MCHEZO