Thursday, 11 July 2019

MATUKIO KATIKA PICHA BAADA YA MECHI

Musa Mande ( Blogger) kushoto na Mwl Bomba wakipata chakula cha mchana baada ya mechi

Beki hatari Peter ndosa na Madam Detah... wakipata chakula cha mchana



Baada ya mechi timu iliendelea na matukio mbali mbali

Wednesday, 10 July 2019

CHAKULA CHA MCHANA BAADA YA MECHI

Wachezaji wa SVSC wakisubiri chakula baada ya mchezo kumalizika....



Mwenyekiti Bw, John Mbitu kulia na Mwl Bomba wakipata chakula cha mchana baada ya mechi.

Dada Detah pamoja na timu wakipata chakula cha mchana......




Baada ya kutoka Mapinga timu ilipata chakula cha mchana kwa pamoja kama matukio ya picha yanavyoonesha..

MAPINGA VETERANS YALIPIZA KISASI KWA SVSC

Timu ya SVSC kabla ya mchezo kuanza. Kutoka kulia mstari wa mbele ni Jummanne, Hamis Shomari, Kobi, Iddi Kaoneka, Samweli mbaga, Kilibe, Michael Simbaulanga, John Mbitu, Peter Ngassa, Abdala Hassan. waliosimama kutoka kushoto ni Sha Pelee, Mwalimu Bomba, Innocent Lyimo, Peter Ndossa, Momo, Innocent Kuzengwa, Salum Mvule, Carlos, na Shev

Timu ya Mapinga Veterans ya Mapinga mkoani Pwani Wilaya ya Bagamoyo iliwafunga timu ya SVSC kwa magoli 4-2 katika uwanja wake wa nyumbani. wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wenye urefu wa M140 na mabonde mabonde, iliwachukua dakika 18 kupata goli la kuongoza kupitia washambuliaji wao. Magoli ya Survey Veterans yalifungwa na Sha Pelle na lingine lilifungwa na mchezaji mwingine.
Kabla ya mchezo kuanza


Safu ya ulinzi, Michael na Peter Ndossa



Hamis Gaga kulia na Caarlos kabla ya mchezo kuanza