Monday, 23 July 2018
Sunday, 22 July 2018
SURVEY VETERANS YAFUNGWA KWA TAAAAABU!! SANA NA NSSF
22:59
No comments
![]() |
Picha: Kutoka Maktaba |
Picha zote kutoka maktaba ya Timu ya SVSC
![]() |
Kutoka kulia Shaban Seleman. Bilauli T na Edwin kabla ya mchezo kuanza |
![]() |
Kaptain wa Timu ya SVSC Mohamed Adam wapili kutoka kushoto akitoa maelekezo ya mwisho kuelekea mchezo |
![]() |
Jeff kulia na Edwin kushoto wakiwa katika chumba cha kubadilishia mavazi |
![]() |
Ekingo akitoka kwenye chumba cha kubadilishia mavazi tayari wa mchezo |
STOPOVER VETERANS YAPIGWA KIPIGO CHA MBWA MWIZI NA SURVEY VETERANS
22:40
No comments
Kipigo kikali kutoka SVSC kiliwapelekea Timu ya Stop Over Veterans kumuomba mwamuzi waliekuja nae kumaliza mpira kabla muda wake baada ya kufungwa magoli 7-0. Magoli mawili yaliyofungwa na mshambuliaji hatari Musa siwiti, Magoli mawili yaliyofungwa na Peter Simon pamoja na magoli mengine matatu yaliofungwa na washambuliaji wengine, yalitosha kuwanyong'onyesha timu ya Mwanachama Mwenzetu bilauri T. na kuwafanya waondoke vichwa chini katika uwanja wa nyumbani wa SVSC,.
![]() |
Kutoka kulia: David Kiganga, Benjamin Magadula na James Kabambo kushoto kabla ya mchezo kuanza |
![]() |
Maandalizi kabla ya mchezo |