![]() |
"Safari ilianzia hapa" |
![]() |
Enock naye alikwepo! |
![]() |
"Beki hatari naye pia alikuwa mmojawapo |
![]() |
"Chapati kuku tamu shehe!!" ndivyo inavyoelekea Katibu mkuu Bw, Suleiman Mgaya akimwambia Mwl mkuu wa SVSC Bw, Ramadhan Bomba wakiwa wanapata Kifungua kinywa baada ya kuwasili Zanzibar
|
![]() |
"Ndani ya "Chai Maharage kutoka Bandarini" |
![]() |
"Ndiyo mara yangu ya kwanza kufika Zanzibari" |
![]() |
"Kitu Ukwaju siyo mchezo" |
![]() |
"Kipapatio" |
![]() |
Hii chai mbona tamu sana ......cha tatu hiki !!!!"Sha-Makala" |
![]() |
Rais wa Wazee Veterans akitukaribisha Zanzibar |
![]() |
Wachezaji na wakimsikiliza Rais wa Wazee Veterans hayupo kwenye picha baada ya kuwasili katika hoteli ambayo waliiandaa kwa ajili yetu |
![]() |
"Historia Imeandikwa" |
![]() |
Sha-Mande:"We umewahi kucheza uwanja huu? Sha-Makala: Sijawahi na sijui kama ntacheza maana ni maji ya jioni haya sasa!!! Sha-Mande: Leo Historia itaandikwa leo |
![]() |
Maandamano ya Michezo ya Pasaka |
![]() |
Juu na chini , ni wachezaji wa SVSC wakishiriki katika maandamani ya pasaka mjini Zanzibar |
0 comments:
Post a Comment