Friday, 3 April 2015

MATUKIO KATIKA PICHA , ZIARA YA TIMU YA SURVEY VETERANS- MJINI ZANZIBAR

"Safari ilianzia hapa"

Enock naye alikwepo!

"Beki hatari naye pia alikuwa mmojawapo

"Chapati kuku  tamu shehe!!" ndivyo inavyoelekea  Katibu mkuu Bw, Suleiman Mgaya akimwambia Mwl mkuu wa SVSC Bw, Ramadhan Bomba  wakiwa wanapata  Kifungua kinywa baada ya kuwasili Zanzibar

"Ndani ya "Chai Maharage kutoka Bandarini"


"Ndiyo mara yangu ya kwanza kufika Zanzibari"




"Kitu Ukwaju siyo mchezo"

"Kipapatio"

Hii chai mbona tamu sana ......cha tatu hiki !!!!"Sha-Makala"


Rais wa Wazee Veterans akitukaribisha Zanzibar

Wachezaji na wakimsikiliza Rais wa Wazee Veterans hayupo  kwenye picha baada ya kuwasili katika hoteli ambayo waliiandaa kwa ajili yetu

"Historia Imeandikwa"


Sha-Mande:"We umewahi kucheza uwanja huu?
Sha-Makala: Sijawahi na sijui kama ntacheza maana ni maji ya jioni haya sasa!!!
Sha-Mande: Leo Historia itaandikwa leo

Maandamano ya Michezo ya Pasaka

Juu na chini , ni wachezaji wa SVSC wakishiriki katika maandamani ya pasaka mjini Zanzibar










0 comments:

Post a Comment