Wednesday, 22 August 2018

TIMU YA BREAK POINT YAKIONA CHA MOTO KWA SURVEY VETERANS


Bw. John Mbitu "Benteke au Morata" wa pili kutoka kushoto waliosimama na Timu yake ya Friends of Break Point kabla ya mchezo ambapo walichapwa magoli 3-0 na timu ya Survey Veterans
Timu marafiki ya Mwanachama wa SVSC  mwenzetu Bw. John Mbitu "Benteke" ilijikuta katika wakati mgumu sana baada ya kupapaswa magoli 3-0 na timu ya SVSC .




Morata kama anavyojulikana kwnye timu ya Friends of Breakpoint akipasha mwili moto kabla ya mchezo kuanza.

0 comments:

Post a Comment