Friday, 8 August 2014

TIMU YA SURVEY VETERANS ZIARANI JIJINI TANGA.

Timu ya SVSC ikiwa katika kituo cha mabasi yaendayo Mikoani na nchi jirani tayari kwa safari ya kuelekea Tanga pamoja na wadhamini wao National social security fund (NSSF)


Katibu Mkuu wa SVSC Bw. Suleiman Mgaya na Makamu Mwenyekiti nao walikuwa miongoni mwa wachezaji walioongozana na timu hiyo


Juu na chini ni wachezaji wa SVSC wakiwa kituo cha mabasi yaendayo mikoani tayari kwa safari


Timu ikiwa ndani ya Bus la Ratco Kuelekea Tanga

Picha za hapo chini zinaonesha Timu imewasili Tanga salama 

Timu imewasili salama jijini Tanga



Picha juu na chini inawaonesha wadhamini wakuu wa SVSC  (NSSF) wakiwa katika sare ya pamoja na wachezaji baada ya kuwasili salama jijini Tanga.




0 comments:

Post a Comment