Timu ya SVSC imeanza vizuri ziara yake jijini Tanga kwa
kuifunga timu ya Kombaini ya jijini Humo kwa magoli 2-1 Magoli yakifungwa na washambuliaji hatari wa pembeni David Kiganga na Salvatory Malongo. Huku goli la kujifunga la Beki nguli wa pembeni likiwapatia Kombaini ya Tanga goli la kufutia machozi.
Picha chini unamuonesha muuaji wa goli la pili Sarvator Malongo ikitoka uwanjani baada ya kumaliza kazi yake.
Picha juu inamuonesha Said Mahoka akiwachua viungo wachezaji wakati wa mapumziko..
Captain Ahmad wakati wa mapumziko
....Wanaume tumemaliza kazi.... Ndivyo capt Ahmad akiwaambia wenzake Osca na Carlos baada ya mchezo kumalizika.
0 comments:
Post a Comment