
Mratibu wa Bonanza la wanataaluma SV T. Bilauri akikabidhi zawadi kwa mshindi wa wanza Kaptain wa Survey Veterans Mohamed Adam (Zengwe) baada ya mchezo kumalizika na kuwafunga Surveyor wanafunzi kwa goli 4-1.
Timu ya Survey Veterans imeibuka mshindi katika bonanza lililoandaliwa na wapima Ardhi (Surveyors) lilifanyika katika uwanja wa Chuo cha Ardhi Dar es salaam.
Golikipa hatari wa SVSC Emmanuel Mwandumbya kushoto na Kaptain ...