Friday, 3 April 2015

TIMU YA SURVEY VETERANS YALAZIMISHWA SARE NA TIMU YA KOMBAINI YA VETERANS YA ZANZIBAR

Ilikuwa penati iliyopigwa kwa ufundi mkubwa na Katibu mkuu wa SVSC Bw, Suleiman Mgaya iliipatia timu ya Survey  Veterans goli la kuongoza katika kipindi cha kwanza katika mechi iliyochezwa usiku katika uwanja wa Amani mjini Zanzibar baada ya Mshambuliaji mwenye misuri minene kuangushwa katika eneo la hatari na mwamuzi kuamua ipigwe penati Kipindi cha pili kilianza kwa kila timu ikifanya mabadiliko mbalimbali ambapo Timu ya kombaini...

MATUKIO KATIKA PICHA , ZIARA YA TIMU YA SURVEY VETERANS- MJINI ZANZIBAR

"Safari ilianzia hapa" Enock naye alikwepo! "Beki hatari naye pia alikuwa mmojawapo "Chapati kuku  tamu shehe!!" ndivyo inavyoelekea  Katibu mkuu Bw, Suleiman Mgaya akimwambia Mwl mkuu wa SVSC Bw, Ramadhan Bomba  wakiwa wanapata  Kifungua kinywa baada ya kuwasili Zanzibar "Ndani ya "Chai Maharage kutoka Bandarini" "Ndiyo mara yangu ya kwanza kufika Zanzibari" "Kitu Ukwaju siyo mchezo" "Kipapatio" Hii...

TIMU YA SURVEY VETERANS SPORTS CLUB ZIARANI ZANZIBAR KWA AJILI YA MICHEZO YA PASAKA

Timu ya SVSC imeondoka leo jijini Dar es salaam kwa boti ya Kilimanjaro kwenda Zanzibar kwa ajili ya michezo ya Pasaka. Timu imewasili salama visiwani humo na kupokelewa na wenyeji wao Wazee Veterans ya Visiwani humo.Timu imeondoka na wachezaji 23 na viongozi 4 ambao ni Bw. Suleiman Mgaya (Katibu Mkuu Mkuu wa msafara) Richard Shukia ( Mhazini mkuu), Ramadhani Bomba Mwalimu wa timu na Benson Mwemezi M/Mhazini. Wachezaji walioongozana na timu...