
Kikosi cha Survey Veterans kutoka kulia walioinama : Paschal Fumbuka, Emmanuel Mwandumbya, Michael Simbaulanga, John Mbitu, Pruce Helman, Peter Simon, Richard Mbunda na Malongo Salvatory. waliosimama kutoka kulia ni Hemedy ,Maulidi, Japhet Tibenda, Geofrey Nyigu, Dominic Mbwete, Hamad Shaweji, Kelvin, Mwalimu Bomba na Siasa.
SVSC ilijikuta katika wakati mgumu baada ya kukutana na kipigo cha goli 7-1kutoka kwa Boko Beach Veterans. Ikiwa na vijana...