Tuesday, 19 February 2019

GOBA VETERANS YACHAPWA MAGOLI 5-2 NA SVSC

Timu ya Goba ilijikuta katika kipindi kigumu sana baada ya kukumbana na kichapo cha mbwa mwizi. japo kulikuwa na mvua iliyoanza kipindi cha pili lkn haikusaidia kuwaacha salama...

ILIKUWA ZAMU YA GOBA VETERANS

Timu ngumu ya Veterans mkoa wa Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla timu ya Survey Veterans imekuwa tishio kwa timu za veterans za mkoa wa Dar es salaam kwa sababu ya kikosi kipana kinachounda timu hii. Timu hii inaundwa na wachezaji wengi wastaafu wa timu ya Taifa pamoja na wachezaji wengine. Ni timu pekee inayocheza kwa muda wa masaa mawili katika mechi moja. kwa hiyo timu yeyote inayotaka kucheza lazima ijiandae kwa muda huo. ...