Monday, 19 October 2020

TFL BONANZA TCC CHANG'OMBE: SURVEY VETERANS YAINGIA FAINALI.

 Mwenyekiti Survey Veterans  Bw. John Mbitu kushoto waliokaa wakifuatilia mchezo huku wachezaji wengine wa SVSC wakifuatilia kwa karibuTimu ya Survey Veterans imeingia fainali ya Michuano ya Bonanza lililoandaliwa na TFL katika kuazimisha siku ya Kumbukumbu ya kifo cha Mwl Nyerere baada ya uitoa Timu ngumu ya Azam Veterans. Penati mbili zilizopanguliwa na golikipa hatari Kiribe Soso" zilitosha kuwaondosha Azam kwenye Michuano hiyo.Golikipa...