Wednesday, 22 July 2020

KIMARA VETERANS KIBONDE MBELE YA SURVEY VETERANS

Timu ya SVSC waliosimama kutoka kulia ni Trezoo, Baton, Simango, Elly, Siasa, Hamisi Shomari (gagarino), Innocent Kuzengwa, Nelly, Mkapa, Peter Ndossa na Mwl Bomba. Waliochuchumaa kutoka kushoto ni Golikipa William, Shevichenko, Peter Ngassa, Emmanyel mwandumbya, Kilibe Soso, Magoti, Michael Mvanga na Mussa Siwiti.

Timu ya Kimara Veterans ilijikuta katika wawakati mgumu baada ya kukubali kichapo cha magoli 4-3 mbele ya Timu Hatari SVSC.Magoli mawili ya Trezoo na Gagarino yalitosha kuwaangamiza timu pinzani ya Kimara Veterans.
Dr Magoti akipiga shuti kali lkn halikulenga goli huku Trezoo akimfuatilia kwa aribu...


Siabonga Siasa akimiliki mpira kwa kiwango cha juu sanaaa 

Gagarino akifunga goli la nne kukamilisha ushindi wa 4-3 huku mabeki wa upinzani wakiwa hawana la kufanya

Winga hatari Mussa Siwiti akielekea goli la hadui huku wenzake wawili wakiwa karibu kumsaidia 

0 comments:

Post a Comment