Friday, 24 October 2014

SURVEY VETERANS YAILAZA MWANZA VETERANS 4-2 KATIKA ZIARA YAKE JIJINI MWANZA

Timu ya Survey Veterans kutoka Dar e salaam, imeilaza timu ya Mwanza StareheVeterans kwa magoli 4-2 katika uwanja wa CCM Kilumba Jijini Mwanza.Magoli ya Survey VeteransYalifungwa na Peter Ngasa, magoli 2,Innocent Lyimo na  Said Omary kwa mkwaju wa penati.Magoli ya wenyeji yalifungwa na Juma Amir Maftah na Mbuyi Yondani. Kikosi kilichoizamisha Mwanza Starehe Veterans kiliongozwa na Golikipa  Kilibe, fullbacks James Kabambo na Dr Rasul Ahmed,...

SURVEY VETERANS YATUA SALAMA UWANJA WA NDEGE WA MWANZA

BAADHI YA WACHEZAJI NA WANACHAMA WA svsc KATIKA PICHA YA PAMOJA UWANJA WA NDEGE WA MWANZA...  .....Baadhi ya wachezaji wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza....  Katibu Mkuu wa survey Veterans na Mjumbe kamati ndogo ya Nidhamu wakiwa uwanja wa ndege wa Mwanza... baada ya kuwasili wakitokea Dar es salaam...

KUNDI LA MWISHO LA SURVEY VETERANS LAPANDA NGEGE KUELEKEA MWANZA

AWAMU YA MWISHO YA WACHEZAJI NA WANACHAMA WA svsc WAMEONDOKA LEO SAA NNE MJINI DAR SALAAM KUELEKEA MWANZA KWA ZIARA YA KIMICHEZO Baadhi ya wachezaji wakiwa uwanja wa ndege wa JKNIA tayari kwa safari  Bw. Ngasamiaku akipata news katika sehemu ya kusubiri tayari kwa safari,......  Mwenyekiti mstaafu Bw. Bakuza M.. pamoja na wanachama wengine katika waiting longe tayari kwa safari  Stevovo", Cobi tayari kuelekea...

Thursday, 23 October 2014

BAADHI YA WACHEZAJI NA WANACHAMA WA SVSC WAWASILI UWANJA WA NDEGE MWANZA

 Carlos Mlinda namuona kwa mbali akiwa ameshika "begi lake la matairi" akiwa wa kwanza kuteremka kwenye ndege...  M/Katibu naye akiwa ameshikilia begi lake kwa makini "kuogopa wezi" Bw. Innocent baada ya kuteremka "kwenye mwewe" Mhazini Msaidizi akifurahia jambo uwanja wa ndege wa Mwanza baada ya kuteremka...

TIMU YA SURVEY VETERANS ZIARANI MWANZA

TIMU YA SURVEY VETERANS IMEWASILI LEO ASUBUHI JIJINI MWANZA KWA ZIARA YA MICHEZO YA KIRAFIKI. TIMU MWENYEJI NI  MWANZA STAREHE VETERANS JIONI YA LEO  ITAKIPIGA NA TIMU YA....... Juu na chini ni picha za Wachezaji na wanachama wa SVSC wakiwa uwanja wa ndege wa JNIA tayari kwa safari ya Mwanza na ndege ya Fastjet  Baada ya Ku "Chech in" Katibu wa SVSC Bw. Suleiman Mgaya , Mjumbe kamati ndogo ya Nidhamu Bw. Frank...

Wednesday, 22 October 2014

LUGALO VETERAN YALAZIMISHA SARE NA SURVEY VETERANS

Timu ya Lugalo veterans ilipunguza uteja pale ilipolazimisha sare ya goli 2-2 na timu ngumu ya Survey Veterans mechi iliyochezwa katika uwanja wa nyumbani wa SVSC.Timu ya Survey Veterans imekuwa kinara kwa timu nyingi za veterans za mkoa wa dar esalaam na mikoanipia. Angalia picha na matukio ya mechi hiyo... Timu ya Lugalo veterans ambayo ilitoka sare ya magoli 2-2 na Timu ya Survey veterans. ...

ETINA BAR & RESTAURANT YANDAA PATI KWA AJILI YA KUWAPONGEZA SURVEY VETERANS

Mkurugenzi mtendaji wa Etina bar & Restaurant Bi Catherine Swai amewapongeza wapenzi na wachezaji wa timu ya Survey Veterans kwa ushindi wao walioupata katika Bonanza la Serengeti fiesta lililofanyika katika viwanja vya TCC Sigara Chang'ombe. Pia Mwenyekiti wa SVSC Bw. Peter Mweta alimshukuru kwa kutambua mchango wao katika kulitangaza jina la Bar hiyo.  Mwenyekiti Bw. Peter Mweta aliwaongoza wachezaji na wanachama katika zoezi la kukata...