Sunday, 16 November 2014

TANZIA

Mwenyekiti wa Survey Veterans Sports Club anasikitika kutangaza kifo cha mama mzazi  wa Mwanachama mwenzetu Bw Dulla kilichotokea  Jumatano tarehe 12/11/2014 Huko Mwanza.Bw. Dula amesafiri kwenda Mwanza kwa ajili ya msiba huo. Kama ilivyo ada na utaratibu wetu tumuombee na kumsaidia katika hali na mali katika kufanikisha msiba huu. Mungu ailaze mahari pema peponi Roho ya marehemu mama yetu mpendwa  Amen Peter Mweta Mwenyekiti S...

TANZIA

Mwenyekiti wa Survey Veterans Sports Club anasikitika kutangaza kifo cha mama mzazi  wa katibu mkuu SVSC Bw. Suleiman Mgaya na Mjumbe kamati ya ufundi Bw. ally Mgaya. kilichotokea  Alhamisi tarehe 13/11/2014 hapa jijini Dar es salaam na kusafirishwa kwenda kijijini kwao Kibindu wilaya  ya Bagamoyo kwa mazishi ambayo yalifanyika tarehe 14/11/2014 Mungu ailaze mahari pema peponi Roho ya marehemu mama yetu mpendwa  Amen Peter Mweta Mwenyekiti S...