
Timu ya SVSC wakifanya mazoezi mepesi kabla ya mchezo kuanza.
Captain Peter Ngasaa kushoto wakijadiliana nani wa kuanza mpira katikati ni Dr. Tiboroa ambaye alikuwa refaree wa mchezo.
Vidume vilivyoshereshea mchezo huo wakimsikiliza msemaji wa timu ya upinzani baada ya mchezo kumalizika.
Ushindi raha....Baada ya ushindi wa mchezo wa leo. Bw. Frank Gaspar akijipongeza na Castle light baridiiii....
Duh........