Sunday, 21 December 2014

SALAMU ZA KRISTIMAS NA MWAKA MPYA KUTOKA KWA MWENYEKITI SVSC

KWA WANACHAMA WOTE WA SVSC MUWE NA SIKUKUU NJEMA AMANI NA UPENDO UTAWALE KUANZIA KWENYE FAMILIA ZENU MPAKA KWA JAMII, JITATHIMINI UMEFANYA NINI KWA MWAKA HUU NA UJIPANGE KWA MALENGO YA MWAKA UJAO. Merry Christimas and Happy New Year 2015,  SVSC idumu!!  Peter Mweta Mwenyeki...

KWA MARA YA KWANZA SVSC IMEFUNGWA 3-2 NA WATOTO WA AZAM JUICE!

Toka mwaka huu umeanza na unaelekea mwisho Timu ya Azam Juice imekuwa ya kwanza kuifunga SVSC kwa taabu timu ya SVSC magoli 3-2 katika uwanja wake wa nyumbamni. Azam Juice ikichezesha vijana tupu ilitangulia kwa goli 2 kabla ya striker hatari wa SVSC Mbunga kuipatia timu yake bao la kwanza. Hadi tunaenda mapumziko magoli yalikuwa 2-1. Baada ya timu zote kurejea kipindi cha pili kila timu ilifanya mabadiliko kadhaa na walikuwa ni Azam waliotoka na ushindi baada ya mpira kumalizi...