Wednesday, 18 April 2018

NI Dkt.OMARY MWINYI NA JEFF TIBENDA 2017

Shukran zangu za dhati kwa uongozi, wachezaji na wanachama wa Survey Veteran kwa kutambua mchango wangu na kunipatia tuzo ya kuwa mfungaji bora wa mwaka 2017. Tuzo hii ni chachu kubwa sana katika kufanya vizuri zaidi. Pia nawashkuru kwa kunipa zawadi ya mfungaji katika mechi ya fainali dhidi ya Wazee Veteran kutoka Zanzibar


Kutoka kulia ni Mwenyekiti SVSC Bw. Peter Mweta, Dr Myinyi Omary mfungaji bora wa mwaka 2017, Jeff Tibenda mchezaji mwenye nidhamu 2017 na wa mwisho ni M//Kiti Bw Shaban Kambabhe
Bw Jeff Tibenda kushoto na Dr Mwinyi Omary wakionesha vyeti vyao vya ushindi baada ya kukabidhiwa katika hafla fupi iliyofanyika klabuni Etina Bar and Restaurant




Kutoka kulia ni Ally Mgaya mjumbe kamatui ya Ufundi, Dr Mwinyi omary mfungaji bora, Mohamed Adam kaptain, Jeff Tibenda mchezaji mwenye nidhamu na Mwl wa timu ya SVSC Bw. Ramadhani Bomba wakiwa pamoja na washindi wetu 



0 comments:

Post a Comment