
Mwenyekiti SVSC Adv. John Mbitu akiongoza kikao cha maanadalizi ya ujenzi wa Choo na Bafu pamoja na kuadhimisha miaka 20 ya Survey Veterans.
Kikao cha maandalizi ya kuadhimisha miaka 20 ya SVSC katika kutimiza malengo ya Ujenzi wa vyumba vya kubadilishia nguo na maliwato katika uwanja wa mazoezi.
Wajumbe wa Mkutano kutoka kulia ni Bw. Jeff Tibenda, Eng Alex Lubida na Bw T Bilauri wakibadilishama mawazo kabla ya kikao kuanza.
Wajumbe...