Saturday, 13 August 2016

NSSF VETERANS YAPIGWA GOLI 2-1 NA SURVEY VETERANS KATIKA UWANJA WA JK PARK

Timu ngumu mkoa wa  Dar es salaam Survey veterans  jana ilipeleka kilio tena kwa wenzao wa NSSF Veterans walipojaribu kujiuliza tena baada ya mechi ya awali kutoka sare na SVSC kwa kuwafunga bao 2-1. Pasi nzuri kutoka kwa foward hatari Benson Mwemezi ilimfikia Winga hatari Musa Siwiti na kuukwamisha mpira wavuni na kuandika bao la kuongoza katika dakika 15 ya kipindi cha kwanza.Pia winga hatari Musa Siwiti nusura aipatie SVSC bao la pili...

TIMU YA SURVEY VETERANS YASHINDA GOLI 2-1 MICHUANO YA 88 MKOANI MOROGORO

Mchanganyiko wa Timu ya SVSC na Reli Veterans kabla ya mchezo kuanza Timu ya Survey Veterans ilifanya ziara ya kimichezo mkoani Morogoro na kucheza mechi ya kirafiki na Timu ya Reli Veterans ya Morogoro na kuifunga goli 2.-1. Hadi timu zinaenda mapumziko Timu ya Reli Veterans ilikuwa inaongoza kwa goli 1-0. Goli la kusawazisha lilifungwa na Godwin ekingo na goli la pili na la ushindi lilifungwa na Captain Peter Ngassa baada ya kuiadaa ngome ya...