
Wadau habari za Jioni, wageni wetu kutoka Zanzibar waliondoka jana na kufika salama Unguja.
Napenda kutoa shukurani za dhati kwenu nyote mlioshiriki na hata wale ambao hawajashiriki najua mlikuwa na nia ila mambo yaliingiliana.
Kwa niaba ya kamati ya utendaji na ya wageni nasema ASANTENI SANA.
Shukrani ziende kwa wale wote waliopewa majukumu na kuyatekeleza kikamilifu kabisa, Katibu, Mhazini,wapokeaji michango Mwalimu Bomba na Babu Carlos (wajela...