
Michuano ya pasaka imeanza leo visiwani Zanzibar ambapoTimu ya SVSC imelazimishwa sare ya magoli 2-2 na timu ya JITIMAI FC baada ya mchezo mkali ulifanyika katika uwanja wa Aman mjini Zanzibar...
Wafungaji goli la kwanza captain PETER AMBROSE NGASSA na la pili BENSON MWEMEZI HAG...