Monday, 1 December 2014

MASHINDANO YA SHIMMUTA TANGA 2014 YAMALIZIKA

Mashindano ya Shirikisho la Mashirika ya umma na Makampuni binafsi Tanzania ( SHIMMUTA)yalimalizika tarehe 30/11/2014 mkoani Tanga kwa timu ya Mikopo kuchukua ubingwa wa Mpira wa miguu, Timu ya TBCkutwaa bingwa wa Mpira wa pete na Chuo kikuu ardhi kutwaa ubingwa wa mpira wa kikapu Baadhi ya wanachama na wachezaji wa SVSC walishiriki mashindano hayo kutokea katika taasisi zao wanazofanyia kazi. Majina ya Wachezaji wa SVSC walioshiriki (SHIMMUTA) na  taasisi/makampuni wanakofanyia kazi. kwenye mabano Frank Gaspar, Musa Siwiti, Dr. Kibasa, Benson...