
Timu ya SVSC katika kufahamu umuhimu wa Mwl, kwa kushirikiana na Mwl Bomba walikubaliana tumnunulie king'amuzi cha Azam kama zawadi ya timu kwake,
Matukio ya picha hapo chini yanaonesha mahabidhiano hayo.
M/M/kiti Dkt. Rasul akikabidhi king'amuzi kwa Mwl Bomba kama zawadi ya timu katika siku Bomba Day huku Capt Mohamed Adam akishuhudia kwa karibu.
Bw, Ramadhani Bomba akiangalia kwa furaha zawadi yake
...