
Bw. John Mbitu "Benteke au Morata" wa pili kutoka kushoto waliosimama na Timu yake ya Friends of Break Point kabla ya mchezo ambapo walichapwa magoli 3-0 na timu ya Survey Veterans
Timu marafiki ya Mwanachama wa SVSC mwenzetu Bw. John Mbitu "Benteke" ilijikuta katika wakati mgumu sana baada ya kupapaswa magoli 3-0 na timu ya SVSC .
Morata kama anavyojulikana kwnye timu ya Friends of Breakpoint akipasha mwili moto kabla ya...