Saturday, 9 August 2014

SVSC YALAZIMISHWA SARE NA KIKOSI B CHA TIMU YA COASTAL UNION YA JIJINI TANGA

Timu ya SVSC katika mechi yake ya pili jijini Tanga ililazimishwa sare na Mabingwa wa Uhai Cup kikosi cha pili cha Wagosi wa Kaya Costal Union katika uwanja wa Mkwakwani baada ya  kutoka sare ya bao 1-1 baada ya kuongoza kwa dk 70 za mchezo bao lililowekwa kimiani na mshambuliaji hatari Moses katika dak ya 27 kipindi cha kwanza. Dk 20 kabla mpira kumalizika vijana wa Costal union walisawazisha baada ya kutokea piga nikupige langoni mwa survey...

TIMU YA SURVEY VETERANS YAIBUGIZA MAGOLI 2-1 TIMU YA TANGA VETERANS

Timu ya SVSC imeanza vizuri ziara yake jijini Tanga kwa kuifunga timu ya Kombaini ya jijini Humo kwa magoli 2-1 Magoli yakifungwa na washambuliaji hatari wa pembeni David Kiganga na Salvatory Malongo. Huku goli la kujifunga la Beki nguli wa pembeni likiwapatia Kombaini ya Tanga goli la kufutia machozi.  Muuaji wa goli la kuongoza. David Kiganga akiwa amepumzika baada ya kipindi cha kwanza kumalizika Picha chini unamuonesha muuaji wa goli...

Friday, 8 August 2014

TIMU YA SURVEY VETERANS ZIARANI JIJINI TANGA.

Timu ya SVSC ikiwa katika kituo cha mabasi yaendayo Mikoani na nchi jirani tayari kwa safari ya kuelekea Tanga pamoja na wadhamini wao National social security fund (NSSF) Katibu Mkuu wa SVSC Bw. Suleiman Mgaya na Makamu Mwenyekiti nao walikuwa miongoni mwa wachezaji walioongozana na timu hiyo Juu na chini ni wachezaji wa SVSC wakiwa kituo cha mabasi yaendayo mikoani tayari kwa safari Timu ikiwa ndani ya Bus la Ratco Kuelekea Tanga Picha...

Wednesday, 6 August 2014

Kikosi kilichoiangamiza Kibangu Veterans Picha ya pamoja na wachezaji wa kibangu kabla ya mechi ambayo walilala kwa bao 1...

Tuesday, 5 August 2014

Timu imeanza zamani kipindi hicho katibu anavaa sosksi ndefu! hahahahahaha... Hebu jaribu kuwatambua hao wachezaji.......

Monday, 4 August 2014

Ndugu wana michezo, ni mwendelezo wa matukio ya kumuaga ndugu yetu Bw. Bruce Heilman ambaye anamaliza muda wake wa kukaa Tanzania. Picha zifuatazo zinaonesha matukio. Picha chini... inamuonesha Mwenyekiti wa SVSC Bw. Peter Mweta akimkabidhi Bw. Bruce Heilman kikombe chenye nembo ya timu ya SVSC kama mojawapo ya zawadi huku Katibu mkuu Bw. Suleiman akishuhudia kwa karibu. M/M/kiti Bw. Rasul Ahmed alimkabidhi Bw. Bruce Helmain...