
Timu ya SVSC picha ya pamoja kabla ya mchezo na Timu ya REA FC katika uwanja wa Bandari Dar Es salaam. Kutoka kushoto waliosimama ni Mwl. Ramadhani Bomba, Peter Ngasa (Captain), Simanga, Chacha KIbago, Ekingo, Shabani Kambabhe, David Kiganga, Mohamed Adam (Captain msaidizi) na mstari wa mbele kutoka kushoto ni Hamis Shomari (gagarino), Alex Lubida, Michael beki hatari, Golikipa Katanje, Michael na Abdala kasimu
Shaban Kambabhe...