Friday, 18 September 2015

MASALIA YA BOMBA DAY

 Baada ya sherehe ya kumpongeza Mwl Bomba masalia ya pesa yalisalia na Mwenyekiti kumkabidhi Mwl kama matukio ya picha yanavyoonesha .... Dah Asante sana Mwenyekiti..... Ndiyo inaonekana Mwalimu Bomba alikuwa akisema....M/kiti wa SVSC Bw. Peter Mweta akimkabidhi masalia ya siku ya Bomba day Mwl Ramadhan Bomba kiasi cha pesa Tsh 60,000/= pesa ambazo zilibaki katika matumizi ya siku ya sherehe huku katibu wa SVSC Bw. Suleiman Mgaya akiangalia...

MATUKIO KABLA YA MCHEZO

D. Kiganga kushoto na Carlos Kulia wakipasha misuri moto kabla ya game James Kabambo kushoto B. Magadula katikati na D Kiganga Kabla ya Mechi Sbaban K, na 32 B. Magadula a 8 na wachezaji wengine kabla ya mechi Kabla ya Mechi Hamis Gaga kulia, Carlos ,D Kiganga na Moses Kabla ya Mechi Golikipa hatari  Yona mwenye jezi nyekundu, Jumanne katikati na Dulla kabla ya mechi Naseeb kulia, Magadula katikati na Gaga wakipasha...

NSSF VETERANS YALAZIMISHA SARE KWA SVSC

Timu ya kuungaunga ya NSSF ikiwa na mamluki kutokea timu pinzani iliweza kulazimisha sare ya goli 1-1 kutoka kwa timu ya Survey Veterans . Ilikuwa ni NSSF iliyoanza kufunga goli kipindi cha pili. Mshambuliaji hatari wa SVSC Innocent Lyimo (Mangi) akiingia kipindi cha pili aliweza kuisawazishia timu ya SVSC  Veterans. NSSF pamoja na kufanya mabadiliko machache, waliweza kuimarisha basi lao na kuhakikisha washambuliaji wa SVSC hawapenyi ngome...