Thursday, 18 April 2019

SAFARI YA ZANZIBAR KWA AJILI YA MASHINDANO YA PASAKA.

Ndugu wanachama na wapenzi wa Survey Veterans Sports Club,Taratibu za safari ya Zanzibar imekamilika na timu itaondoka na msafara wa watu 32 ambao walijitokeza na waliokamilisha taratibu za safari. Safari itakuwa siku ya ijumaa na boti itakayoondoka saa 1 kamili asbh. Timu itaongozana na Mwenyekiti Bw. John Mbitu, M/M/kiti Eng. Shabani Seleman na Katibu mkuu Bw. Suleiman Mgaya pamoja na viongozi wengine wa kamati kuu na kamati ndogo ndogo. Ratiba...

Wednesday, 17 April 2019

TWALIPO VETERANS YALIPIZA KISASI KWA SVSC

Kikosi kilichoanza katika mechi kati ya SVSC na Twalipo Veterans. Kutoka kulia mstari wa mbele walioinama ni Edwin Mvanga, Michael Simbaulanga, Hemed, Frank Gaspar, Mohamed Adam na Golikipa. waliosimama mstari wa mbele kutoka kushoto ni Bruce Helman, Abdalla Kassimu, Kelvin Haule,Joseph mwasenga na Siasa. Baada ya kulazimishwa sare na SVSC katika mchezo wa kwanza uliofanyika uwanja wa Taifa, Timu ya Twalipo Veterans iliweza kuwafunga magoli...