Thursday, 19 December 2019

BOKO BEACH VETERANS YAENDELEZA UTEJA KWA SURVEY VETERANS

Mara ya pili sasa Boko Veterans inaifunga SVSC. mara ya kwanza ilikuwa magoli 7-2 na mara hii ni 4-3. Magoli ya SVSC yalifungwa na Mwinyi Mwiny magoli mawili na goli la tatu lilifungwa na Sha Pelee Timu ikifanya Maandalizi kabla ya mechi katika uwanja wa Boko Beach Veteran...