Ilikuwa ni NSSF iliyoanza kufunga goli kipindi cha pili. Mshambuliaji hatari wa SVSC Innocent Lyimo (Mangi) akiingia kipindi cha pili aliweza kuisawazishia timu ya SVSC Veterans. NSSF pamoja na kufanya mabadiliko machache, waliweza kuimarisha basi lao na kuhakikisha washambuliaji wa SVSC hawapenyi ngome iliyokuwa ikiongozwa na beki Mamluki Ally Mgaya. Hadi mwisho wa mchezo SVSC 1 na NSSF 1.
MATUKIO YA PICHA KABLA NA BAADA YA MCHEZO
0 comments:
Post a Comment