Wednesday, 28 December 2016

SURVEY VETERANS YAFANYA VIZURI MICHEZO YA BONANZA TANGA

Steven Nyenge (stevovo) akiuweka mpira kwenye imaya yake huku Arbart Sengo akimsogelea kwa msaada huku Ekingo na Mohamed Zengwe wakiwa wanawalinda wachezaji wa upinzani wasilete madhara. SVSC walishinda 2-0
Dah.... Game tight... Ally Mgaya kushoto anaonesha anamwambia Kept Peter Ngasa kulia


.....Unaweza ukafa......Mohamed Adam akiwa amechoka baada ya mchezo kumalizika na SVSC kushinda 2-0


 Ally Mgaya kushoto na Richard Shukia akifatilia mchezo baada ya kupumzishwa,....
Muuaji wa magoli ya SVSC Arbart Sengo akiwaeleza wachezaji wenzake hawapo pichani jinsi ya kuwatoka mabeki wa timu Pinzani

Kepteni wa mchezo huo Ahmad Shaweji akiwa anafuatilia mchezo baada ya kupumzika

Golikipa Shah Pele aliyevua shati, Godwin Ekingo aliyekaa kwenye kiti, Mnyama Iddy Ngaoneka kulia na Mohamed Zengwe wakijadili jambo baada ya mchezo



Frank Gaspar Baada a kupumzishwa akitoa maelezo kwa wachezaji wengine ..

Mtaalamu wa pass uwanjni Stevovo Nyenge bada ya mchezo kumalizika

Arbart Sengo akijiandaa kumtoka beki wa timu pinzani huku Iddy Ngaoneka akiwa karibu kwa msaada

Golikia wa Mashindano Shah Pelle akiokoa mchomo kutoka kwa mshambuliaji wa timu ya upinzani...

0 comments:

Post a Comment