![]() |
Mwenyekiti SVSC Adv. John Mbitu akiongoza kikao cha maanadalizi ya ujenzi wa Choo na Bafu pamoja na kuadhimisha miaka 20 ya Survey Veterans. |
Kikao cha maandalizi ya kuadhimisha miaka 20 ya SVSC katika kutimiza malengo ya Ujenzi wa vyumba vya kubadilishia nguo na maliwato katika uwanja wa mazoezi.
![]() |
Wajumbe wa Mkutano kutoka kulia ni Bw. Jeff Tibenda, Eng Alex Lubida na Bw T Bilauri wakibadilishama mawazo kabla ya kikao kuanza. |
![]() |
Wajumbe kutoka kulia ni T. Bilauri,Benson Mwemezi, Madam Detah Daudi na Mwenyekiti John Mbitu wakimsikiliza mjumbe hayupo kwenye picha alipokuwa akichangia mada katika kikao hicho. |
![]() |
Mjumbe Bw. Peter Ngassa akifafanua jambo huku Mwenyekiti akimwangalia kwa karibu . |
0 comments:
Post a Comment