Baada ya kulazimishwa sare na SVSC katika mchezo wa kwanza uliofanyika uwanja wa Taifa, Timu ya Twalipo Veterans iliweza kuwafunga magoli 4-3 timu ngumu ya Survey Veterans katika uwanja wake wa nyumbani Chuo kikuu Ardhi.
![]() |
.....Mambo ya Dihno hayo..... Kelvin Haule akitoa pasi kwa mbwembwe huku mwalimu Bomba akiangalia kwa mbali pamoja na wachezaji wengine. |
0 comments:
Post a Comment