Mwenyekiti wa Survey Veterans Sports Club anasikitika kutangaza kifo cha mama mzazi wa katibu mkuu SVSC Bw. Suleiman Mgaya na Mjumbe kamati ya ufundi Bw. ally Mgaya. kilichotokea Alhamisi tarehe 13/11/2014 hapa jijini Dar es salaam na kusafirishwa kwenda kijijini kwao Kibindu wilaya ya Bagamoyo kwa mazishi ambayo yalifanyika tarehe 14/11/2014
Mungu ailaze mahari pema peponi Roho ya marehemu mama yetu mpendwa
Amen
Peter Mweta
Mwenyekiti SVSC
Sunday, 16 November 2014
TANZIA
21:41
No comments
0 comments:
Post a Comment