Tuesday, 26 December 2017

NSSF YALAZIMISHA SARE NA SURVEY VETERANS


Timu ya NSSF ililazimisha sare ya magoli 2-2 na timu ngumu ya SVSC. Timu hii ya NSSF imekuwa mpinzani mkubwa sana kwa SVSC kwa mwaka huu maana tumekutana mara tatu na mara zote tumetoka sare.




Captain Peter Ngasa Mwenye notebook mkononi akitoa maelekezo kwa wachezaji kabla ya mchezo kuanza. aliyekaa chini ni Chacha kibago

0 comments:

Post a Comment