Friday, 29 December 2017

MWALIMU BOMBA KATIKA KAZI YAKE YA KILA SIKU


Mwalimu Ramadhani Bomba amekuwa ni mtu wa pekee katika timu ya SVSC. Ni mwalimu wa nidhamu, mwalimu wa mpira na mambo mengine yanayohusu maisha binafsi. Hii ni pale ambapo mchezaji anapoenda kinyume anamrekebisha kwa kumuonya na kumfanya awe mchezaji mzuri. Baada ya Peter Simon kukengeuka Mwalimu pamoja na wanamichezo wengine walimtaka kujirekebisha na kwenda sawa na falsafa ya Survey Veterans ya Upendo, uvumilivu, kuheshimiana kati ya mtu na mtu uwanjani na nje ya uwanja. Tunampongeza sana Mwalimu Bomba

0 comments:

Post a Comment