Friday, 14 April 2017

SURVEY VETERANS YATOKA SARE YA MAGOLI 2-2 NA TIMU YA JITIMAI FC

Michuano ya pasaka imeanza leo visiwani Zanzibar ambapoTimu ya SVSC imelazimishwa sare ya magoli 2-2 na timu ya JITIMAI FC baada ya mchezo mkali ulifanyika katika uwanja wa Aman mjini Zanzibar...






Wafungaji goli la kwanza captain PETER AMBROSE NGASSA na la pili BENSON MWEMEZI HAGAI

0 comments:

Post a Comment