Wednesday, 18 April 2018

SHEREHE YA WAPENZI NA WANACHAMA WA SURVEY VETERANS KATIKA HAFLA YA UTOAJI WA ZAWADI



Mwenyekiti Survey Veterans Bw. Peter Mweta akiwahutubia wanachama na wapenzi wa Survey Veterans juu ya sherehe ya utoaji wa Zawadi kwa washindi wa mwaka 2017 na wafuNgaji bora wa mashindano ya pasaka ambapo Survey Veterans ilichukua kikombe kwa mara ya tatu mfurulizo
Wwapenzi na wanachama wa SVSC wakimsikilizqa mwenyekiti  aliyeshika Mike"( Luice tety kushoto, Chacha KIbago mwenye tshirt nyeusi, Innocent Lyimo mchaga mwenye t shirt ya orrange na wengineo

Mohamed Adam Zengwe" wa kwanza kushoto, M/Katibu Bw. Kambabhe wakimfuatilia kwa makini M/kiti 

Jeff Tibenda kutoka kushoto, Richard Mbunda, John Mbitu Benteke", Dr Omary Mwiny na Mzee carlos Mvule, wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti 






0 comments:

Post a Comment