Timu ya SVSC ilicheza michezo mitatu mchezo mmoja tulicheza na Dodoma Veterans na matokeo yalikuwa 2-2 na Mchezo wa pili SVSC ikafungwa kwa taabu sana na Mwanza Veterans kwa magoli 4-1
 |
Wachezaji wa akiba.Kutoka kulia Innocent Lyimo, Meshack Mponda, Peter Ngassa Samwel Ntakamulenga na Godon |
 |
Benchi la ufundi na wachezaji wa Akiba wakifuatilia mchezo kwa makini. Kutoka kulia ni Captain Peter Ngasa, Mchezaji mwalikwa Samwel Ntakamulenga, Godon Chiggs, Pius, Mh Ridhiwan Kikwete, Said Seif |
 |
Mwenyekiti John Mbitu kulia, Mh Ridhiwani Kikwete, Chiggs na Ndomoki mstari wa nyuma aliyesimama ni Sports Lady Detah |
0 comments:
Post a Comment