Mkutano mkuu wa wanachama na wapenzi wa SVSC wa kupitisha Rasimu ya katiba ULIOFANYIKA TAREHE 30/08/2014 ulifana sana. Wajumbe wengi walihudhuria na kutoa michango yao ya mawazo katika kufanikisha hilo....
Baadhi ya picha za matukio ya siku ya kikao...
"Hii nyama ngumu" ndiyo maneno Katibu Mkuu SVSC yaelekea alikuwa anayasema katika sherehe ya kujipongeza baada ya kumalizika mkutano mkuu katika ukumbi wa Etina Bar...
0 comments:
Post a Comment