AWAMU YA MWISHO YA WACHEZAJI NA WANACHAMA WA svsc WAMEONDOKA LEO SAA NNE MJINI DAR SALAAM KUELEKEA MWANZA KWA ZIARA YA KIMICHEZO
Bw. Ngasamiaku akipata news katika sehemu ya kusubiri tayari kwa safari,......
Mwenyekiti mstaafu Bw. Bakuza M.. pamoja na wanachama wengine katika waiting longe tayari kwa safari
Stevovo", Cobi tayari kuelekea kwenye ndege
M/kiti, Bw Kobi na M/M/kiti wakiwa angani kuelekea mwanza
"Captain Ngasa na Mwl Bomba tayari kwa kupanda ndege
0 comments:
Post a Comment