Juu na chini ni picha za Wachezaji na wanachama wa SVSC wakiwa uwanja wa ndege wa JNIA tayari kwa safari ya Mwanza na ndege ya Fastjet
Baada ya Ku "Chech in" Katibu wa SVSC Bw. Suleiman Mgaya , Mjumbe kamati ndogo ya Nidhamu Bw. Frank Gaspar, Mhazini Msaidizi Bw. Benson Hagai na Golikipa namba moja wa SVSC wakisubiri muda wa kuondoka kuelekea Mwanza.
"Katibu mkuu na Bw. Frank walikuwa wakwanza kufika uwanjani"
"Tunazibua koki "
Bw innocent Lyimo, Captain Mohamed Adamu na Bw Benson Hagai wakiwa ndani ya Ngege
Picha ya chini inamuonesha M/Katibu Bw Shabani Kambabhe, Bw. Frank Gaspar na Bw. Suleimani wakiwa ndani ya ndege.......Safari njema....
![]() |
0 comments:
Post a Comment