Sunday, 19 July 2015

KATIKA KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA EID PILI, BW, SHABANI K. ALIZALIWA

Tarehe 19/07/.... alizaliwa M/katibu wa Survey Veterans  Bw. Shaban K. katika siku ya sikukuu ya Eid pili ambapo M/kiti wa SVSC Bw, Peter Mweta aliungana na wanachama na wapenzi wa Survey Veterans katika kumpongeza Bw,Shabani katika siku yake ya kuzaliwa na kumtakia maisha marefu yenye amani na furaha tele.

 Pia M/kiti alifungua shampagn isiyo na kilevi katika kumpongeza Bw, Shabani K. kwa kuzaliwa leo.
Matukio ya picha yanaonesha mfululizo wa tukio hilo

Picha juu na chini zinamuonesha M/kiti Bw. Peter Mweta akifungua champaign kwa ajili ya kumtakia heri K/Katibu Bwa Shabani Selemen Kambabhe mwenye kofia  katika siku yake ya kuzaliwa. Macocha Tembele akiangalia kwa karibu



K/katibu Bw, Shabani S. Kambabhe akitoa shukrani kwa wanachama na wapenzi wa SVSC ambao walijumuika  pamoja katika kufanikisha sherehe ya Eid pili na kumtakia heri katika siku yake ya kuzaliwa Huku mjumbe kamati ya nidhamu Bw, Frank Gaspar akisikiliza kwa makini..

M/kiti na katibu wakiteta jambo katika sherehe hiyo..

 M/kiti Bw, Peter Mweta mwenye jezi nyeupe waliosimama , Katibu mkuu Bw, Suleiman Mgaya mwenye T- shirt nyeusi, Bwa, Frank Gaspar mwenye T- shirt ya pundamilia , M/M/kiti Dkt Rasul mwenye miwani aliyekaa ,Mzee Harifa mwenye shati la dukani, wakimsikiliza K/Katibu Bw, Shabani katika sherehe hiyo.....



PICHA ZOTE KWA HISANI YA BLOGGER



0 comments:

Post a Comment