M/kiti wa Survey Veterans Bw Peter Mweta aliungana na wanachama wa SVSC kumpongeza Dkt Ngasamiaku kwa kumaliza masomo yake na kupata Phd yake.
Dkt Ngasamiaku ,alipopewa nafasi ya kusema chochote alisema', "Nawashukuru sana wapenzi na wanamichezo wa SVSC kwa maombi yenu ambayo naamini kwa njia moja ama nyingine yalifanikisha mimi kufikia hatua hii kubwa ya kielimu Mungu awabariki sana". Mwanachana na mchezaji wa SVSC Bw. Innocent Lyimo alifungua Champaign kuashiria furaha na upendo katika tukio hili.
M/kiti kwa mara nyingine alimpongeza Dkt Ngasamiaku kwa hatua hiyo kubwa kielimu na kuwashukuru wanachama kwa umoja wao na mshikamano.
Matukio ya picha hapo chini yanakamilisha tukio hilo muhimu
"..Napenda nichukue fulsa hii kuwashukuru sana wanachama wenzangu kwa upendo wenu. Mungu awabariki sana." Hayo ni maneno aliyoyatoa Dkt Ngasamiaku katika sherehe ya kumpongeza baada ya kumaliza masomo yake na kupata Phd.
Bw. Innocent lyimo alifungua Champaign kayika kuhitimisha sherehe hiyo.
0 comments:
Post a Comment