Sunday, 19 July 2015

SURVEY VETERANS YASHEREHEKEA EID PILI KWA FURAHA

Kama ilivyo ada, kwa timu hii, kila mwaka husherekea kwa pamoja siku kuu ya Eid pili kwa matukio mbali mbali ikiwa ni njia mojawapo ya kukutana pamoja, kula pamoja na kufurahi pamoja.

Sherehe ya mwaka huu inaweza ikawa imevunja rekodi kati ya sherehe kama hii zilizopita maana ilikuwa inaandaliwa kwa umakini na ueledi mkubwa chini ya Mhazini Mkuu Dkt R. Shukia (Sha-Makala). Wanachama pia walikuwa wengi ukilinganisha na miakailiyopita penhine kutokana na kuhamasishwa mara kwa mara katika kuhakikisha sherehe hii inafanikiwa
.
Picha za matukio ya shsrehe hii hapo chini zinaonesha furaha jinsi ilivyokuwa.

M/kiti Bw Peter Mweta , M/Mkiti Dkt Rasul wakiwaongoza wanachama wa Survey Veterans katika kachula cha mchana katika kuadhimisha sikukuu ya Eid pili katika ukumbi wa Etina Bar & Restaurant

M/Mkiti Dkt Rasul mbele , Macocha  na Mbwete wakiwa katika kupakua chakula katika hafla iliyoandaliwa na wanachama na wapenzi wa Survey Veterans katika ukumbi wa Etina Bar & Restaurant siku ya Eid pili

0 comments:

Post a Comment