Saturday, 11 July 2015

LEO TAREHE 12/07...NI SIKU YA KUZALIWA MWENYEKITI WA SVSC Bw. PETER MWETA.


 Bw. Peter Mweta (M/Kiti)  wa kwanza kushoto akikabidhi zawadi kwa  Bw, Bruce siku ya kuagana nae na katibu wa (SVSC) Bw. Suleiman Mgaya akishuhudia kwa karibu makabidhiano hayo.

Tuma ujumbe mfupi kumtakia maisha marefu na yenye furaha na amani.

0 comments:

Post a Comment